UWEKEZAJI NA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA KENYA: TUKO WAPI?
Wiki hii tumeshuhudia historia kubwa: Mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania, *Bwana Rostam Azizi, amenunua *asilimia 54.08% controlling stake katika Nation Media Group (NMG) – moja ya kampuni kubwa zaidi ya magazeti, TV na vyombo vya habari nchini Kenya. Hii ni hatua ya kihistoria na inaonyesha kuwa WaTanzania wanaweza na wanapaswa kuwekeza moja kwa moja Kenya na […]
UWEKEZAJI NA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA KENYA: TUKO WAPI? Read More »





